Serikali Yatoa Onyo kwa Gazeti la MwanaHalisi Yaitaka Kujieleza Kwanini Lisichukuliwe Hatua

Serikali Yatoa Onyo kwa  Gazeti la MwanaHalisi Yaitaka Kujieleza Kwanini Lisichukuliwe Hatua
Gazeti la Mwana halisi limetakiwa na Serikali kupitia idara ya Habari maelezo kujielesa kwanini gazeti hilo lisichukuliwe hatua zaidi kutokana na kukiuka  maadili na usiofuata weledi wa kitaaluma.

Mkurugenzi Mkuu wa idara ya habari maelezo na msemaji wa serikali Hassani Abbasi amesema gazeti hilo limekuwa likiandika habari ambazo zimekuwa zikikiuka misingi ya uandishi wa habari na kusema kuwa sheria za nchi na hata za kimataifa zinazohusu wajibu wa uhariri  kwa taaruma hii.

Gaze

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad