VIDEO: CHADEMA Watoa Taarifa Rasmi Kuhusu Tundu Lissu Kupigwa Risasi na Watu Wasiojulikana

Siku moja baada ya Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu kuvamiwa na kupigwa risasi nyingi mwilini mwake, Leo Septemba 8, CHADEMA kimetoa taarifa rasmi kupitia kwa Katibu mkuu wa chama hicho Ndugu Vincent Mashinji Juu ya kilichotokea na kinachoendelea mpaka sasa kumuhusu Mbunge na mwanasheria wa Chama hicho Tundu Lissu ambaye alilazimika kupelekwa Jijini Nairobi Nchini Kenya kwa matibabu, ambapo taarifa hiyo iliambatana na maagizo kadhaa. FULL VIDEO:
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad