VIDEO:Baada ya Hallelujah kuvunja Record ya Seduce Me! Quick Rocker Ameongea haya!

Baada ya Hallelujah kuvunja Record ya Seduce Me! Quick Rocker Ameongea haya!
VIDEO"
Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. sio vibaya kumsifia mtu nyimbo ni nzuri ila kuna walakini diamond tabia zake ni mbaya anapenda kuwavunjia wenzengu in short ana wivu Ali kiba sidhani kama ana shinda na yeye au na yoyote ye kwani sauti ya Kiba ny ki pekee none of them have amebarikiwa isitishe kiba ndie aliemtoa Daimond so sidhani kama Kiba anaushindani hapo halafu k8ba hajamshrikisha mtu kwenye seduce dai anatafuta kiki kushirijisha watu kwenye nyimbo zake zimtoe so Kiba is Kiba na i dont compare na webye kutafuta kiki as u people say

    ReplyDelete
  2. HATA ATOE NYIMBO 100 KWA SIKU BADO HAMFIKII KIBA KWA UIMBAJI NA KAZI NZURI

    ReplyDelete
  3. YES HATA MIMI NAKUUNGA MKONO SAUTIBYA KIBA NI YA KIPEKEE NA HATA KUIMBA KWAKE HIS THE KING SO HATA AFANYE NINI HAMPATI KIBA HATA TUSEME UKUCHA WAKE

    ReplyDelete
  4. hapo juu wote vilaza hamjielewi mfyuuuuuuuuu

    ReplyDelete
  5. Anonymous 14:06 know how to identify yourself first ukweli ni ukweli

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad