ZUNGU: ‘Hakuna Sheria itayotungwa na Bunge itakayozuia Mimba Mashuleni

Mwenyekiti wa bunge na mbunge wa Ilala, Mussa Zungu leo September 25 2017 amealikwa kwenye mahafali ya 15 ya kidato cha nne katika shule mfano ya sekondari ya wasichana ya Barbro Johansson na moja ya ishu aliyoizungumzia ni hii ya mimba mashuleni.

Akizungumza wakati wa hotuba yake……
’Hakuna sheria yoyote itakayotungwa na bunge itakayozuia mimba mashuleni, mimba shuleni zitazuiwa na wanafunzi pamoja na wazazi na jamii kwa ujumla, mtoto akiwa mhuni na mzazi wake naye mhuni’
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad