Diamond Platnumz Kutumbuiza Kilele Cha Mwenge Oktoba 14, Zanzibar

Kwamujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye ukurasa wa Instagram wa Mkuu wa mkoa wa Mjini Magharibi RC Ayoub Mahmoud, ambako ndipo kutafanyika kilele cha maadhimisho ya mbio za mwenge kitaifa, Posti hiyo inaeleza kuwa tayari msanii Diamond Platnumz na kundi lake la WCB wamethibitisha kuwa watatumbuiza siku hiyo ya tarehe 14/10/2017.

Posti hiyo inasomeka hivi:-

#icantwait Nikiwa Kama Mkuu wa Mkoa Wa Mjini #zanzibar napenda kukukaribisha wewe mdogo wangu @diamondplatnumz pamoja na team Yako nzima katika siku ya tarehe 14/10/2017 Katika viwanja vya amani!. Ni matarajio yangu wana mkoa wa mjini magharibi wanakusubiri kwa hamu!. Confirmed diamond platinum live performance at Amani Stadium!. #kilelechamwengezanzibar #MiminaWewe #karibuninyote
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad