Faiza Ally sasa Ahamishia Shambulio Kwa Mke wa Mh.Sugu...Adai ni Mke wa Mtu

Miezi kadhaa Baada ya mashambulio makali kwa mzazi mwenzake juu ya malezi ya mtoto,mrembo asiekwisha matukio Bongo Faizza Ally, amemshambulia vikali mtandaoni Mke wa mbunge sugu(happiness msonga), sababu zikiwa ni kuhisi kutukanwa na accounts fake za Mke huyo wa mheshimiwa sugu.

Tazama picha.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad