Flynt Atangaza Zawadi ya Dola Milioni 10 Kumuondoa Trump Madarakani

Flynt Atangaza Zawadi ya Dola Milioni 10 Kumuondoa Trump Madarakani
Mchapishaji wa jarida la picha chafu za utundu, Larry Flynt, amechapisha tangazo katika gazeti la Washington Post, akiahidi kulipa zawadi ya dola milioni 10, kwa mtu mwenye habari, zitazopelekea Rais Trump kushtakiwa na kuondoshwa madarakani.
Bwana Flynt, anayemiliki jarida la "Hustler", amesema ni wajibu wa kila Mmarekani, kumuondoa Bwana Trump, kabla ya kuchelewa.
Mwanzilishi wa Playboy aaga dunia
Roboti inayoweza kushiriki ngono kutengezwa
Utafiti: Kerengende wa kike ''hujiuwa'' ili kukwepa tendo la ngono
Tangazo hilo, linatoa nambari ya simu ya kupiga na anuani ya barua pepe.
Larry Flynt, ambaye alikuwa mfuasi mkubwa wa Hillary Clinton katika kuania urais, ametoa matangazo kama hayo kabla, lakini hakuwahi kutoa zawadi kubwa kama hiyo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad