Hizi hapa Sababu Chaz Baba Kupotea Katika Steji ya Mashujaa Bendi

Hizi hapa Sababu  Chaz Baba Kupotea Katika Game ya Muziki
BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana katika steji ya Bendi ya Mashujaa aliyokuwa akiifanyia kazi, mwanamuziki Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ ameeleza sababu za kupotea kwake.
Chaz Baba alisema alikaa kimya kwenye steji kwa kuwa alikuwa bize kufanya nyimbo zake binafsi na anatarajia kurejea kwa kishindo hivyo mashabiki wakae mkao wa kula.
“Nimekaa kimya kwenye steji kwa muda mrefu lakini hivi karibuni nitaachia wimbo wangu mpya unaitwa Nuru na nina nyimbo nyingine mpya 13 ambazo nitazitoa kwa utaratibu moja baada ya nyingine mpaka ziishe,”
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad