Joti Kimeeleweka Anatarajia Kufunga Ndoa Hivi Karibuni

Jot Kimeeleweka Anatarajia Kufunga Ndoa Hivi Karibuni
Mchekeshaji mkongwe Bongo, Joti hatimaye ameamua kuachana na utani wa kudai anaoa na kuamua kufanya kweli kwa kudhihirisha yupo serious kidogo kwa jambo la mahusiano kwa kutarajia kuvuta jiko hivi karibuni.

Joti ambaye anafahamika kwa kufanya matangazo mengi ikiwemo ya kufunga ndoa , aliambatana na  watu wake wa karibu  katika sendoff  yake  iliyofanyika siku ya jana( Alhamisi) akiwa na mchekeshaji Seki.

Mchekeshaji huyo mwenye dili kibao town anatarajia kufunga ndoa rasmi  hivi karibuni na atakuwa ameingia kwenye orodha ya mastaa wa Bongo waliopo  katika ndoa kama Babuu wa Kitaa, Mx Carter, Kenedy The Remedy, Professa Jay, ZamaradI Mketema na Frola Mbasha.
chanzo Bongo5
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad