Kesi ya Yusufu Manji Hukumu Yake Kusomwa Leo


Kesi ya Yusufu Manji Hukumu Yake Kusomwa Leo
Mfanyabiashara Yusuph Manji (41) amewasili kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwaajili yakusomewa Hukumu hii leo Ijumaa.

Manji anakabiliwa na shtaka lakutumia dawa za kulevya na tayari upande wa mshtaka umeshatoa ushahidi na upande wa utetezi umeshatoa utetezi .


Hukumu inatarajia kutolewa leo Ijumaa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Cyprian Mkeha baada ya upande wa mashtaka na wa utetezi kufunga ushahidi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad