Klabu ya Yanga Yaomba Msaada

Klabu ya Yanga Yaomba Msaada
Klabu ya soka ya Yanga imerudi tena kwa wanachama wake mara hii ikiwa ni kuhitaji ushirikiano kwenye ujenzi wa uwanja wa Kaunda ambao utatumika kwenye mazoezi ya timu hiyo.

Msemaji wa Yanga Dismas Ten amesema Yanga inawaomba wanachama na mashabiki wa klabu hiyo kupeleka vifusi kwenye uwanja huo ili kusaidia zoezi la ujenzi linaloendelea.

“Zoezi la ujenzi wa uwanja wetu linaendelea ambapo tumeanza na hatua ya kumwaga vifusi, wanachama wanaleta na tunaomba wengine wazidi kuleta, mtu yeyote anayejua kifusi kinapatikana wapi anaweza kuleta”, amesema Ten.

Yanga imepanga kuuboresha uwanja wa Kaunda uliopo makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Jangwani na Twiga jijini Dar es sala
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad