Lazima Mwakani Nipate Mtoto Mungu Akinijaalia- Gigy Money

Lazima Mwakani Nipate Mtoto Mungu Akinijaalia- Gigy Money
Msanii wa muziki na video vixen Bongo, Gigy Money amesema mwakani anatarajia kupata mtoto.

Gigy ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Papa’ ameiambia E Fm Radio kuwa hicho ni kitu ambacho yeye na mpenzi wake wameshakaa na kukijadili.

“Watengemee tu mwakani nitakuwa na mtoto Mungu akinisaidia, yaani hiyo ni lazima” amesema Gigy Money.

Katika hatua nyingine Gigy Money ameongeza kuwa huu ni mwaka wa tatu yupo na mpenzi wake hivyo ni muda sahihi kufanya hivyo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad