Nisha Awachana Wanaomkashifu Lulu

Nisha Awachana Wanaomkashifu Lulu
MSANII wa Filamu za Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewaonya watu wanaompiga vijembe msanii mwenzake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye anakabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa muigizaji, Steven Kanumba.

Nisha aliiambia Full Shangwe kuwa, kwa kipindi kigumu alichonacho Lulu si cha kumnanga bali cha kumpa faraja.

“Tangu kesi ya Lulu ianze upya kusikilizwa, kuna watu wamekuwa wakimkashifu kwa maneno ya ajabu, bila kujua kuwa hakuna ajuaye ya kesho. Ni vyema tukampa faraja rafiki yetu kwa kipindi kigumu alichonacho,”alisema Nisha.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad