Serikali yamjibu Zitto Kabwe, yasema anapotosha kuhusu takwimu za pato la Taifa

Ukuaji wa pato halisi la taifa katika robo ya pili ya mwaka 2017 ulikuwa ni asilimia 7.8

Asilimia 5.7 ni ukuaji wa pato la taifa katika robo ya kwanza mwaka 2017 na sio robo ya pili

Kanuni aliyotumia Zitto Kabwe haikuweka uzito kwenye kipengele muhimu cha kasi ya mzunguko wa fedha

Kabwe Zitto amepotosha kwa kutumia fahirisi ya bei ya walaji(CPI)kukokotoa badala ya kutumia fahirisi ya pato la taifa(GDP deflator)
 
VIDEO:
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huyu nae kazoea muda wote kupotosha jamii

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad