Tanzia:Hussein Juma a.k.a Dj Juice Amefariki Dunia Usiku wa Kuamkia Leo

Tanzia:Hussein Juma a.k.a Dj Juice Amefariki Dunia Usiku wa Kuamkia Leo
Dj wa muda marefu na mkongwe katika tasnia ya muziki na Burudani Tanzania, Hussein Juma a.k.a Dj Juice amefariki Dunia usiku wa kuamkia tarehe 31 katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa rafiki yake wa karibu ambaye wameshiriki mara kadhaa katika kazi za pamoja, Dj Mackay alitoa taarifa za msiba huo kwa kutoa salamu za pole kwa familia ya ndugu jamaa na marafiki na kuongeza kuwa shughuli za mziko ya Dj Juice zitafanyika jioni ya siku ya jumanne(leo) mida ya saa 10 jioni katika Makaburi ya Ndungumbi, Magomeni Makuti jijini Dar es Salaam.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad