VIDEO: Familia ya Lissu yafunguka kwa Mara ya Kwanza

Baada ya ukimya wa muda mrefu tangu Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu Lissu kushambuliwa kwa risasi nyingi na watu wasiojulikana mchana wa Septemba 8, 2017 mkoani Dodoma, Leo Oktoba 5 Familia ya Mbunge huyo imezungumza na Vyombo vya habari kuhusu Hali ya mbunge huyo kwasasa ambaye anatibiwa Nchini Kenya, imeongea pia kuhusu mwenendo wa Uchunguzi, na kuhusu Dereva wa Lissu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad