VIDEO:Serikali imedanganya Pato la Taifa - Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Kabwe amefunguka na kuelezea namna ambavyo serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyodanganya juu ya Takwimu za pato la Taifa.

Zitto Kabwe amesema kuwa katika uchambuzi na uchunguzi ambao wamefanya wamegundua kuwa Pato la Taifa la Tanzania lilisinyaa kati ya mwezi wa April na June 2017 tofauti na Taarifa ya Serikali iliyotolewa karibuni.
Mtazame hapa Zitto Kabwe akifafanua zaidi juu ya jambo hili.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad