Wabunge Acheni Kuwashwa Washwa na Kufanya Mambo ya Umbea- Ndugai

Wabunge Acheni Kuwashwa Washwa na Kufanya Mambo ya Umbea- Ndugai
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amesema kwamba hana taarifa za kujiuzulu kwa mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu , na wala hiyo barua bado haijamfikia, na kuita kitendo alichokifanya ni umbea.

Job Ndugai ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio kwenye kipindi cha East Africa Breakfast, na kusema kwamba Lazaro hakupaswa kutangaza hivyo kabla ya kuhakikisha barua imemfikia.
Pamoja na hayo Spika Ndugai amewataka wabunge wengine kuacha kuwashwa washwa na kufanya mambo ambayo ameyaita ni ya umbea.
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hawa Vilaza CCM mpya wameshatiwa chaki.
    yeye mwenyewe anajua na sisi tunajua.
    Ama siyo Lazaro?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad