Waliofanikisha Uchunguzi Makinikia Kupewa Vyeti Leo Na Rais Magufuli

Waliofanikiasha Uchunguzi Makinikia Kupewa Vyeti Leo Na Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk. John Pombe Magufuli leo anatarajia kuwatunuku vyeti Maalum Watu wote waliokuwa kwenye kamati ambao wamefanikisha makubaliano kati ya Serikali na Kampuni ya Uchimbaji madini ya Barrik Gold Corporation, tukio hilo litafanyika Ikulu leo.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad