Beka Flavour Afunguka Kuhusu Kufanya Kolabo na Aslay

Beka Flavour Afunguka Kuhusu Kufanya Kolabo na Aslay
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Beka Flavour amefunguka kuhusu kolabo yake na Aslay.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sarafina’ ameiambia FNL ya EATV kuwa kolabo hiyo bado haifanyika bado ila muda ukifika itafanyika.

“Hamna bado hatuna kolabo lakini chochote kinaweza kutokea lakini siyo Aslay tu, mbona Enock watu wamuongelei?” amesema.

Aslay na Beka walikuwa pamoja katika kundi la Yamoto Band ambalo kwa sasa wasanii wake wanafanya kazi kama solo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad