Breaking News: Rais Robert Mugabe Ajiuzulu Urais Kabla ya Bunge Kumuwajibisha

Spika wa bunge la Zimbabwe ametangaza kuwa rais Robert Mugabe amejiuzulu . Kumekuwa na shangwe miongoni mwa wabunge kufuatia tangazo hilo. harakati za kumuondoa madarakani rais huyo kupitia bunge kumesitishwa.

Katika barua iliyosomwa na spika kwa wabunge hao, mugabe amesema amejiuzulu ili kukabidhi madaraka kwa njia ya amani


Taarifa rasmi kutoka chama tawala cha Zanu PF inasema ndani ya saa 48 zijazo Makamu wa Rais aliyefukuzwa Emmerson Mnangagwa atakuwa kiongozi wa nchi hiyo
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad