Brown Achora Tatoo Yenye Jina la Wolper Kifuani Mwake

Brown Achora Tatoo Yenye Jina la Wolper Kifuani Mwake
‘Kiben’teni’ Wolper, Barnaba Lukindo maarufu kama ‘Brown’, ameonyesha mapenzi ya dhati kwa mpenzi wake mkali wa sinema za Kibongo ambaye kwa sasa hivi ni mbunifu wa mavazi, Jacqueline Wolper Massawe, kwa kuchora tatoo kwenye kifua chake yenye jina la mdada huyo.

Brown amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii na kuonekana penzi limekolea 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad