Daxo Chali Ni Mtoto Mdogo Siwezi Kubishana Naye- Nay wa Mitego

Daxo Chali Ni Mtoto Mdogo Siwezi Kubishana Naye- Nay wa Mitego
Rapa Nay wa Mitego amefunguka na kusema hawezi kubishana wala kuongea chochote juu ya tuhuma ambazo Daxo Chali amekuwa akizitoa kwake na kusema yeye si mtu wa kubishana au kuongea na watoto wadogo.

Nay Wa Mitego amesema hayo alipohojiwa na eNewz na kusema mtayarishaji huyo wa muziki bado ni mtoto hata kazi yake bado hajaijua vizuri na kudai kutokana na hayo ndiyo maana anataka kuitia doa 'label' ya Mj Records kwa kupeleka mambo hayo kwenye vyombo vya habari.
Mtazame hapa Nay wa Mitego akifunguka zaidi.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad