Diamond kwa Nyimbo Hizi Mbili Mpya: Hata Ukistaafu Mziki Leo Sina Cha Kukudai Kamanda, Hebu Sikiliza na Wewe.

Asiwapigie rafiki zangu..niacheee....nasema niacheeeee....Ntakudanganya kwa tabasamu..ntakudanganya kwa kulikie picha..
wanasema kitanda ukitandika lazima ukilalie..

Kijana unajua sana. hata ukistaafu..umeufanyia makubwa mziki wa wetu. sidai sana.
leo kinyumbani nyumbani... Nauliza hivi bado wale wengine wanashindana tu..nasikia wanajua kupiga danadana..si wakacheze mpira tu hata Ruvu jkt..au Polisi Moro.

Hebu sikiliza mabalaa hayo...mtaani wa pili mpo
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad