Godbless Lema Amefungua Mkakati Uliopangwa na Jeshi la Polisi Kumkamata

Godbless Lema Amefungua Mkakati Uliopangwa na Jeshi la Polisi Kumkamata
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema kuwa kuna  mkakati umepangwa na jeshi la polisi ili akamatwe.

Mh. Lema kupitia ukurasa wake wa twitter amesema kuwa wanaishi maisha magumu na hawana budi kuvumilia maisha hayo.

Mkakati umepangwa,nikamatwe na na Jeshi la Polisi leo,maelekezo yamekwishatolewa .Tunaishi maisha magumu sana,hatuna budi kuvumilia.

Lema ni Mbunge ambaye amezoeleka mara nyingi kutumia ukurasa wake wa twitter kueleza mambo mbalimbali yanayoihusu jamii na yeye pia.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Watakukamata wew ila aliyeko ndani yako ni mkuu kuliko wanavyofikiria hao police

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad