Hatma ya Zamaradi na Clouds Media Baada ya Kuolewa

Wambea wenzangu ebu nipeni ubuyu,

Hivi Zamaradi bado yupo Clouds FM baada ya kuolewa? Simsikii Kabisa

Maana kusema kweli alikua anajua sana kutangaza especially kwenye kipindi cha TAKE ONE na LEO TENA, alikua anapatia kweli. Kama aliacha sasa hivi sijui atakua wapi ila namshauri aende hata AZAM TV kutangaza, maana kipaji anacho..Asiache Kipotee Bure

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad