KUTOKA IKULU: Kuhusu Taarifa za Uteuzi wa Katibu Mkuu Ndumbaro Kutenguliwa

Kumekua na Taarifa zilizosambaa kuanzia saa kadhaa zilizopita kwamba Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Dr. Laurian Ndumbaro.

IKULU imetoa taarifa jioni hii na kusema taarifa hizo sio za kweli vilevile Wananchi wazingatie kupokea taarifa sahihi kutoka kwenye mamlaka na vyombo rasmi vya serikali.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad