Majonzi Yatanda Rwanda Mazishi ya Ndikumana

Majonzi Yatanda Rwanda Msiba wa Ndikumana
Wananchi wa Rwanda pamoja na wapenzi wa soka wa Afrika Mashiriki siku ya jana walipokea kwa mshituko mkubwa kifo cha ghafla cha aliyekuwa kapteni wa timu ya Taifa ya Rwanda, Hamad Ndikumana ambaye pia alikuwa ni mume wa muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Irene Uwoya.


Baba wa Marehemu
Mwili wa Ndikumana ukiwa umebebwa na wachezaji wa Rayon Sports, ukipelekwa msikitini kwaajili ya dua ya mwisho

Umati mkubwa watu ulijitokeza katika msikiti wa Qaddafi huko Nyamirambo Rwanda kwaajili ya kumuaga mwanasoka huyo mkongwe. Angalia picha.


Mama yake marehemu Ndikumana akilia kwa uchungu.

Ndikumana anadaiwa kufariki muda mchache baada ya kutoka mazoezi akiwa kama kocha wa timu ya Rayon Sports.

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. kwani alikuwa muislamu? mbona alifunga ndoa na irene kanisani?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad