Mamba Mkubwa wa Urefu wa Mita 3 Aleta Tahaluki India Akutwa Nje ya Nyumba ya Mwanaume Mmoja

Mamba Mkubwa wa Urefu wa Mita 3 Aleta Tahaluki India Akutwa Nje ya Nyumba ya Mwanaume Mmoja
Mwanamume mmoja katika kijiji kilicho jimbo la mashariki mwa India la Orissa, alipigwa na mshangao baada ya kumpata mgeni ambaye hakumtarajia nje ya nyumba yake - mamba wa urefui wa mita 3
Dasharath Madkami alimpata mamba huyo baada ya kuamshwa na sauti zisizo za kawaida usiku.
Jiwe kubwa linalocheza nchini Tanzania
Alipiga kamsa na wanavijiji wakafika ambao walimfunga mamba huyo kwa mti.
Mamlaka za wanyamapori kisha zikafika kumuokoa mnyama huyo.

Hata hivyo kulikuwa na mzozo kuhusu ni wapi mambaohuyo angepelekwa.
Mamba mkubwa Big Daddy kufanyishwa ndoa Mombasa
Maafisa wa misitu walitaka kumuachilia myama huyo kwenda kwa bwagwa lililoku karibu ambapo alitoka, lakini wanavijiji wakakataa wakohofia kuwa angerudi tena.
Mamba huyo hata hivyo aliachiliwa kwenda mto Balimela ulio umbali wa kilomita 60.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad