Mwanamuziki Nikki wa Pili Aguswa na Matokeo ya Udiwani...Afunguka Haya

Baada ya Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani Mwanamuziki Nikki wa Pili ameandika haya:

Democrasia ni uhuru wa watu kushiriki kujiamulia hatma ya maisha yao, sio kushiriki kupiga kura alafu baada ya hapo hatma inakuwa mikononi mwa watu wachache wanaa amuwa wapendavyo na wengi hawana kauli hamna hata nafasi ya kuhoji #illusion ya democrasia wakilishi
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad