Noah ya Abiria Yagongana Uso kwa Uso na Lori

Noah ya Abiria Yagongana Uso kwa Uso na Roli
Taarifa ya ajali iliyotokea mchana huu kwenye mkoa wa Kilimanjaro eneo la kikavu kwa Sadala baada ya Gari la maji ya Kilimanjaro ambalo ndio chanzo cha ajali, kulipita gari jingine na kugongana uso kwa uso na Noah ya abiria iliyokua ikitokea Moshi Mjini kwenda Sanja Juu.

Inasemekana ni watu wanne wamepoteza maisha kwenye ajali hiyo lakini millardayo.com na AyoTV zinaendelea kumtafuta Kamanda wa Polisi kuthibitisha hilo, majeruhi wamepelekwa hospitali.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad