Nyarandu Awashukuru Waliomuunga Mkono Baada ya Kujivua CCM Asema Tanzania Iruhusu Ushindani na Demokrasia ya Kweli

Nyarandu Awashukuru Waliomuunga Mkono Baada ya Kujivua CCM Asema Tanzania Iruhusu Ushindani na Demokrasia ya Kweli
Baada ya Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu kukihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kujivua ubunge amesema kuwa anawashukuru Watanzania wote waliomletea salaam kuunga mkono kwa uamuzi wake wa kujiondoa na chama hicho.

Mh. Nyalandu ameyaanisha hayo leo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo amesema kuwa Tanzania iruhusu ushindani na demokrasia ya kweli Tanzania.

NAWASHUKURU Watanzania WOTE walioniletea salaam kuunga mkono uamzi wangu wa kujiondoa CCM. Turuhusu ushindani na demkrasia ya kweli Tanzania
Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mpuuzi wewe tueleze kwanza twiga na tumbili wetu kwanini uliwapandisha ndege

    ReplyDelete
  2. Ukitoka CCM kwenda chadema ni sawa, lakini ukitoka chadema kwenda CCM umehongwa.....hahahaha amakweli NDEGE-WOTE-WALIE-AKILIA-BUNDI-UCHURO!

    ReplyDelete
  3. Kwendlaaaa kule wala huna faida yoyote ya uongozi kwa Taifa hili, kajambe mbeleee kule kwa mafisadi wenzio, huku kuna baba Magu ataki ufisadi wala wizi, Bali uchapa kazi, kama mataifa ya wenzetu wankojielewa, Sio ya bara hili, Tanzania watu wameamuka Sasa, hawaja lala na hawatolala tena maanake wanasema usimuamshe alie lala usije ukalala wewe, umepitwa babu na wakati umeshakuwa wa Enzi zile na ukaharibu kwa tamaa ya kifsadi na rushwa na wizi, Sasa tenaaa weweee wa Nini?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad