Rais Magufuli Ateta na Watanzania Waishio Uganda

Rais Magufuli Ateta na Watanzania Waishio Uganda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Watanzania waishio nchini Uganda katika mji wa Masaka na kuwahakikishia kuwa hatua zilizochukuliwa na serikali ya awamu ya tano zimeanza kuzaa matunda.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Watanzania waishio nchini Uganda katika eneo la Masaka.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad