Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kwa Spika wa Bunge Kufuatia Kifo cha Mbunge wa Songea Mjini

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kwa Spika wa Bunge Kufuatia Kifo cha Mbunge wa Songea Mjini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri, Mhe Job Ndugai kufuatia kifo cha Mbunge wa Songea Mjini, Leonidas Tutubert Gama.

Mbunge wa Songea Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Leonidas Gama amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Peramiho, Ruvuma.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad