RC Makonda Amjibu Mhe Nyalandu ‘Dira ya Mafisadi Ndio imepotea’ (Video)

Baada ya siku ya jana aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Samwel Nyalandu kutangaza kukihama Chama Cha CCM kwa madai kimepoteza mwelekeo na kushindwa kuikosoa serikali, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemjibu mwanasiasa huyo kwa kueleza baadhi ya mambo ambayo yamefanywa na serikali hiyo inayoongozwa na chama cha CCM. VIDEO:
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad