Setlait ya Urusi Yapoteza Mawasiliano Yake Baada ya Kuizindua

Urusi Yapoteza Mawasiliano na Setlait Yake Baada ya Kuizindu
Urusi imepoteza mawasiliano na setlait yake ya hali ya hewa saa chache baada ya kuizindua.
Mawasiliano yamepotea kwa sababu haiko katika obit yake , kulingana na shirika la angani la Roscoms.
Setlait hiyo kwa jina Meteor-M ilibebwa katika roketi ya Soyuz.
Uzinduzi huo ulifanyika kutoka eneo la Vostochny cosmodrome mashariki mwa Urusi.
Ni uzinduzi wa pili kutoka kambi hiyo ambayo ilifunguliwa mwaka uliopita.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad