Sugu amchana Ndalichako, anamaliza miti kwa kujaza karatasi na kuleta ujangwa

Mbunge wa Mbeya mheshimiwa Joseph Mbilinyi alimtolea uvivu waziri wa elimu prof Ndalichako kufuatia ripoti yake aliyoitoa kuhusu mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu hapa nchini

Sugu amesema taarifa ya Ndalichako imejaza karatasi nyingi pasi na point ya msingi ya kutatua tatizo sugu la mikopo, hivyo anatumia karatasi nyingi na kusababisha matumizi holela ya miti inayotumika kutengeneza karatasi

Ameongeza, Ndalichako anasababisha ujangwa kwani anaongeza matumizi ya karatasi kwa kuandika na kujaza vitu viso maana
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huna hadhi ya kuwa Mbunge Mbulinyi.
    unazungumza upuuzi. its a waste kusimama na kuchukua muda wako kuzunhumzia hili.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad