Waziri Atoa Ufafanuzi Juu ya Tamko Alilolitoa la ‘Msichana kuolewa hadi cheti cha kidato 4’

Waziri Atoa Ufafanuzi Juu ya Tamko Alilolitoa la ‘Msichana kuolewa hadi cheti cha kidato 4’
Naibu waziri TAMISEMI, Joseph Kakunda ametoa ufafanuzi kuhusu kauli yake ya anaetaka kuolewa lazima awe na cheti cha kidato cha nne ndio afunge ndoa.  Mh. Kakunda amesema kuwa huo ni utekelezaji wa sera mpya ya elimu sio leo.

Akizungumza leo bungeni mjini Dodoma baada ya Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara kuihoji serikali kuhusu tamko hilo ambapo serikali imesema kuwa utakapo fika muda huo kithibitisho muhimu ni lazima awe na cheti.

“Nilisema sera mpya ya elimu ya mwaka 2014, huko tunakoelekea inabadilisha sasa mfumo wa sasa elimu ambao utahitaji mtoto aanze aanze chekechekea mwaka 1 asome shule ya msingi miaka 6 shule ya sekondari miaka minne na hii itakuwa lazima kwaatakae maliza darasa la kwanza hadi amalize form four tutakapo fika wakati huo kithibitisho muhimu ni kwamba huyu mtoto awe la living certificate wakati huo sio leo kwahiyo huo ni ufafafuzi kabisa wa sera mpya,” amesema Mh. Kakunda
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad