ZIMBABWE: Rais Mnangagwa Ampa Shavu Mugabe..

Rais wa Mpito, Emmerson Mnangagwa aidhinisha rasmi tarehe ya kuzaliwa ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe (21 Februari) kuadhimishwa kama Sikukuu ya Kitaifa

Itatambulika kwa jina la "Robert Gabriel Mugabe National Youth Day" kama ambavyo ilipendekezwa na chama tawala mnamo mwezi Agosti mwaka huu!
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad