Ali Choki Asema Vyuma Vimekaza

Ali Choki Asema Vyuma Vimekaza
MWANAMUZIKI nguli wa muziki wa dansi nchini, Ally Choky amesema kuwa kukaza kwa vyuma kumesababisha mashabiki wengi kutohudhuria kwenye maonyesho mbalimbali ya muziki.



Choky ambaye ni Mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, amesema kwa sasa hali ni mbaya katika bendi karibu zote.



“Ukitaka kujua kuwa vyuma vimekaza, wewe angalia shoo nyingi hazina mashabiki kama zamani. Sisi kama Twanga Pepeta tunaendelea kupambana na hali yetu hadi kieleweke maana lazima maisha yaendelee na tuna imani mambo yatabadilika,” alisema Choky.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad