Barnaba Afuata nyayo za Diamond Aajiri Bodigadi

Barnaba Afuata nyayo za Diamond Aajiri Bodigadi
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva nchini, Barnaba Elias, ‘Barnaba Classic’ ameamua kuajiri bodigadi wa kumlinda kwa ajili ya kujiongezea thamani.

Barnaba akizungumza na Showbiz alisema kuwa, ameamua kuongeza ‘value’ kwenye kazi zake na pia kuepukana na rapsha zisizo za lazima.


“Kuwa na bodigadi ni kuongeza value ya kazi yangu lakini pia kama wasanii kuna rapsha mbalimbali ambazo tunakutana nazo kutoka kwa watu ambao hawatutakii mema. Mashabiki wangu wasiniogope na kunitenga kwa sababu ya mlinzi wangu,”alisema Barnaba.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad