Basi Lililokua na Abiria 50 Limeanguka Katika Daraja Moja na Kuwaua Takriban Watu 32


INDIA: Basi lililokua na abiria 50 limeanguka katika daraja moja na kuwaua takriban watu 32

Gari hilo ambalo lilikuwa likiendeshwa na kijana wa miaka 16 lilipoteza uelekeo kabla ya kutumbukia katika mto Banas

Lilikuwa likiwabeba abiria kutoka eneo la Rajasthan kuelekea Ramdevji katika wilaya ya Sawai Madhopur
-
Basi hilo baadaye lilivutwa nje ya mto huo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad