Breaking News: Meya wa Zamani wa Kinondoni Alhaji Londa Atakiwa Kulipa Milioni 18 Leo Ili Asitolewe Vitu Nje na Urafiki

Meya wa Zamani wa  Kinondoni Alhaji  Londa Atakiwa Kulipa Milioni 18 Leo Ili Asitolewe Vitu Nje na Urafiki
Meya wa zamani wa Manispaa ya Kinondoni Alhaji Salum Londa amepewa muda hadi saa tisa alasiri leo awe amelipa kodi ya nyumba anayodaiwa na Kiwanda cha Urafiki kiasi cha Sh. 18 milioni, iwapo atashindwa, vitu vyake vitatolewa nje.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad