Breaking News:Babu Seya Nguza Viking na Mtoto Wake Waachiwa Huru Kwa Msamaha wa Rais

Katika Maazimisho ya Miaka 56 ya Uhuru Tanzania Leo Rais Magufuli ametoa Msamaha Kwa Wafungwa Babu Seya na Mwanawe Ambao Walikuwa Wamefungwa Kifungo cha Maisha kwa kosa la kulawiti......
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Magu Baba...!!!!!
    Mungu akuwe na akulinde.
    Mlio achiwa tunakuombeni chonde chonde Msimwangushe Raisi wetu na Imani yakw Juu yenu.
    Rudini Uraiani na muwe Wazalendo na Raia wema. Nchi yetu ni Salama na tunahitaji Amani yenu Uraiani kwetu.
    Karibuni sana muungane na Familia zenu na kuwaondolea dhiki za kowakosa kwa muda wote mliokuwa hamoo nao.
    Iqe ni Furaha na Amani kwenu.
    karibuni na tujenge Taifa kwa pamoja.
    Na tufanye kazi kwa bidii kweli kwelinchi inakuhitajini katika uzalishaji na kulitumikia Taifa. kumbukeni hii ni awamu ya
    HAPA KAZI TU NA SI VINGINEVYO.
    ASANTE BABA JPJM. Watakuelewa tu.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad