Calisah Akwama Kwenda Katika Mashindano ya Mister Africa Internation

Calisah Akwama Kwenda Katika Mashindano ya Mister Africa Internation
Mwanamitindo Calisah ameshindwa kushiriki mashindano ya Mister Africa International yanayofanyika Jumamosi hii Disemba 2 huko mjini Lagos Nigeria, licha ya kutumiwa barua ya mwaliko.


Calisah ameiambia Bongo5 kwamba licha ya kuwa mashindano hayo hutakiwa washiriki kutuma maombi yao ili washiriki lakini yeye aliombwa kushiriki na kampuni ambayo inaandaa mashindano hayo.

“Haikuwa bahati yangu kwa mwaka huu kwa kuwa nimechelewa kutumiwa mwaliko, nimepokea barua November 27 wakati mashindano yamenza wiki moja nyuma na fainali ni kesho (leo),” alisema Calisah.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad