Hata Nape Aona Vyuma Vimekaza?

Hata Nape Aona Vyuma Vimekaza?
Mbunge wa jimbo la Mtama kwa tiketi ya (CCM) Nape Nnauye amefunguka na kuandika jambo ambalo linawachanganya wananchi wengine wakihisi na kudhani amekubali kuwa kweli mtaani vyuma vimekaza huku wengine wakiwa na maana tofauti juu ya kauli hiyo.


Nape kupitia mtandao wake wa Instgram jana aliandika  "Ni rahisi kuchukulia poa kwasababu kwako mambo yanaenda, lakini sio hata kidogo" jambo ambalo liliwafanya wananchi waanze kueleza hisia  

Wiki kadhaa zilizopita Mbunge wa Mtama Mhe. Nape Nnauye alisema kuwa anachukizwa sana na kitendo cha watu kutafsiri kauli zake anazozitoa kwenye mitandao ya kijamii na kuzihusisha na kumsema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Maguifuli.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad