Kijana Aliyejizolea Umaarufu Kwa Kujipiga Picha Akiwa Kwenye Majengo Marefu Afariki Dunia


CHINA: Pichani ni Wu Yongning aliyejizolea umaarufu kwa kuonekana kwenye Video fupi akiwa juu ya majengo marefu na kupiga picha kwa mtindo wa 'Selfie'.
-
Bwana Wu Yongning alipotea kwenye mitandao kwa muda na sasa imethibitika kuwa alifariki baada ya kuanguka kutoka katika jengo la ghorofa la 62
-
Vyombo vya habari nchini humo vinasema kuwa alikuwa akishiriki kwenye mchezo ambao ungemuwezesha kushinda pesa nyingi
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad