Mahubiri Yampoza Kakobe...Kuhojiwa na Polisi Baada ya Kuipa Makavu Serikali


DAR: Jeshi la Polisi limesema ni lazima litamhoji Askofu na kiongozi wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe

Kuhojiwa kwa Askofu huyo kunatokana na kauli yake aliyoitoa dhidi ya Serikali wakati akiongoza ibada ya Christmas

Kamanda wa Polisi wa Dar es Salam, amenukuliwa akisema kuwa Kiongozi huyo wa kidoho alitoa maneno ya kashfa katika mahubiri yake, lakini hana taarifa kama amekamatwa.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad