Marekani, Korea Kusini Yafanya Mazoezi Pamoja Ili Kumtisha Korea Kaskazini

Marekani, Korea Kusini Yafanya Mazoezi Pamoja Ili Kumtisha Korea Kaskazini

Jana tarehe 3 Desemba 2017,  Jeshi la anga la Marekani na la Korea Kusini yameungana na kuanza kufanya mazoezi ya kijeshi kwa pamoja ambapo hii inakuwa ni mara yao ya kwanza kufanya hivyo.

Ndege za kisasa za kijeshi aina ya F-22 Raptor stealth fighters zilizotumiwa jana na Marekani kwenye mazoezi hayo.

Taarifa iliyotolewa kwenye mtandao wa jeshi la Marekani imeeleza kuwa majeshi yake yanafanya hivyo ili kujiimarisha na imepeleka ndege 230 za kivita kwenye mazoezi hayo ambayo hufanya kila mwaka

Mazoezi hayo ambayo yanafanyika katika rasi ya Korea yametajwa kuwa ni kitisho kwa Korea Kaskazini ambayo siku wiki iliyopita ilifanya majaribio ya Lombora kubwa zaidi la nyuklia ambalo ilithibitisha kuwa linauwezo wa kuipiga Marekani na Uingereza sehemu yoyote ile.


Instagram Follow on Instagram
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad