Siyumbishi na Ndoa Wanazofunga Waolewe tu Wakati Wangu Bado- Odama

Siyumbishi na Ndoa Wanazofunga Wakati Wangu Bado- Odama
MUIGIZAJI mwenye kiwango kizuri kwenye tasinia ya filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa ayumbishwi na ndoa wanazofunga baadhi ya mastaa hivi karibuni kwani wakati wake ukifika na
yake itafanyika.

Akizungumza na Risasi Jumamosi, Odama alisema kuwa hakuna kitu kizuri duniani kama wakati wa Mungu ambao ndio sahihi, hivyo hawezi kuona mtu amefanya kitu na yeye akatamani
kwasababu mwingine amefanya.

“Mimi naamini kabisa kila jambo lina wakati wake na wakati mzuri ni Mungu aliokupangia jambo husika, sio tu kukurupuka kwasababu mwingine kafanya,” alisema Odama
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad